Saturday, 25 January 2014

KABULA AIWEKA WAKUFU ALABAMU YAKE MPYA YA NITANG'ARA TU

Mwambaji wa Injili nchini Mwinjilisti Kabula J.George amefanikiwa kutoa albamu yake ya tatu ikijulikana kwa jina la Nitang'ara Tu. Albamu hiyo aliiweka wafu hivi karibuni katika Huduma ya Neno la Upatanisho iliyopo Kitunda Kivule jijini Dar es Salaam. Albamu hiyo itaingia sokoni hivi karibuni.

Muonekano wa albamu ya Nitang'ara Tu kwa mbele.

Muonekano wa albamu hiyo kwa nyuma
Mchungaji Anna Suguye akiiweka wakufu albamu ya Nitang'ara Tu Mei 29,2011


Kabula na vijana wake wakiwa wanaomba wakati albamu hiyo ikiwekwa wakufu


Kabula akiwa katika hali ya maombi wakati wa kuiweka wakufu albamu yake mpya

No comments:

Post a Comment