KABULA AIWEKA WAKUFU ALABAMU YAKE MPYA YA NITANG'ARA TU
Mwambaji
wa Injili nchini Mwinjilisti Kabula J.George amefanikiwa kutoa albamu
yake ya tatu ikijulikana kwa jina la Nitang'ara Tu. Albamu hiyo
aliiweka wafu hivi karibuni katika Huduma ya Neno la Upatanisho iliyopo
Kitunda Kivule jijini Dar es Salaam. Albamu hiyo itaingia sokoni hivi
karibuni.

Muonekano wa albamu ya Nitang'ara Tu kwa mbele.

Muonekano wa albamu hiyo kwa nyuma
Mchungaji Anna Suguye akiiweka wakufu albamu ya Nitang'ara Tu Mei 29,2011

Kabula na vijana wake wakiwa wanaomba wakati albamu hiyo ikiwekwa wakufu

Kabula akiwa katika hali ya maombi wakati wa kuiweka wakufu albamu yake mpya

Muonekano wa albamu ya Nitang'ara Tu kwa mbele.

Muonekano wa albamu hiyo kwa nyuma

Mchungaji Anna Suguye akiiweka wakufu albamu ya Nitang'ara Tu Mei 29,2011

Kabula na vijana wake wakiwa wanaomba wakati albamu hiyo ikiwekwa wakufu

Kabula akiwa katika hali ya maombi wakati wa kuiweka wakufu albamu yake mpya
No comments:
Post a Comment