IMELDA alianza kujishughulisha na maswala ya muziki mwaka 2012 lakini alianza lasmi uimbaji huo mwaka 2013 katika kanisa la E.A.G.T DEKAPOLI YA IGAWILO MBEYA.
Nilipo taka kufahamu nikwanini aliamua kuimba nyimbo za injili Imelida alisema kwama kwasababu huwa anapenda sana kumutumikia Mungu, na alisema anaguswa sana na nyimbo za Injili pia amekulia katika familia ya Kikristo ndipo alisema nilipo amua kumpokea Kristo hapo nilipogundua kuwa nini Mungu amenizawadia nami nikatumia zawadi hiyo kufanya kazi yake aliye nipeleka maadamu ni mchanga asipoweza mtu kufanya kazi.
No comments:
Post a Comment